“Furaha iko juu!”

“Ukikasirika, aliyesababisha ukasirike ni Shetani aliyeko ndani yako; na ukiwa na furaha, aliyesababisha uwe na furaha ni Mungu aliyeko ndani yako.”

“Nabii wa kweli lazima awe na upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole, na kiasi. Kuonyesha usungura wa manabii wa injili ya woga ni jukumu la kila Mkristo wa kweli, kuokoa roho za watu wengi kwa kadiri tutakavyoweza.”