“Wanasayansi wanaamini kuwa Yesu atarudi tarehe 29 Julai 2016. Tarehe hiyo kitu kikubwa sana kitatokea katika dunia yetu kitakachosababisha tetemeko kubwa la ardhi, litakalosababishwa na kubadilika kwa ncha za dunia, tendo litakalosababisha mionzi ya gama kutoka kwenye jua ifike duniani na kuua kila kitu kinachoonekana katika uso wa dunia hii. Watakatifu watafufuka na kumlaki Kristo mawinguni, ambaye anakuja kuwachukua wateule na kumweka Shetani kifungoni kwa miaka 1000. Hayo yote, wanasema, yatatokea ndani ya siku 11 kuanzia leo. Yaani, kusini mwa dunia kutakuwa kaskazini mwa dunia, kaskazini mwa dunia kutakuwa kusini mwa dunia. Kitendo hicho kitafanya dunia ikose kinga ya sumaku iitwayo ‘magnetosphere’ ambayo hukinga dunia dhidi ya mionzi ya gama kutoka kwenye jua. Mionzi hiyo hugonga ukuta wa ‘magnetosphere’ kila baada ya dakika 8 kwa mwendokasi wa kilometa milioni 1080 kwa saa; na kusambazwa katika ncha za dunia ambapo aghalabu huchanganyikana na oksijeni na kutengeneza kitu kinaitwa ‘aurora’, au mwanga wa ncha, ambacho ni maajabu mengine ya angani. Mwaka 2012 wanasayansi walisema ncha za dunia zingebadilika lakini hazikubadilika. Je, muda umefika sasa wa kuwaamini wanasayansi? Biblia ni chuo cha Mungu. Soma Biblia kupata maarifa.”

“Who can we claim to know God, and deny him by our actions.”

“We would never call inexplicable little insights ‘hunches,’ for fear of drawing the universe’s attention. But they happened, and you knew you had been in the proximity of one that had come through if you saw a detective kiss his or her fingers and touch his or her chest where a pendant to Warsha, patron saint of inexplicable inspirations, would, theoretically, hang.”

“It is no sign of benediction to have been obsessed with the lives of saints, for it is an obsession intertwined with a taste for maladies and hunger for depravities. One only troubles oneself with saints because one has been disappointed by the paradoxes of earthly life; one therefore searches out other paradoxes, more outlandish in guise, redolent of unknown truths, unknown perfumes…”

“…the dead have a way of becoming saints in the eyes of their survivors…”

“[Saint Anthony] said, in his solitude, he sometimes encountered devils who looked like angels, and other times he found angels who looked like devils. When asked how he could tell the difference, the saint said that you can only tell which is which by the way you feel after the creature has left your company.”

“The saints, too, had wandering minds. The saints, too, had constantly to recall their constantly wandering mind-child home. They became saints because they continued to go after the little wanderer, like the Good Shepherd.”

“The peace of the celestial city is the perfectly ordered and harmonious enjoyment of God, and of one another in God. (City of God, Book 19)”

“God creates out of nothing. Wonderful you say. Yes, to be sure, but he does what is still more wonderful: he makes saints out of sinners.”

“Sanctify yourself and you will sanctify society.”

“Telling an introvert to go to a party is like telling a saint to go to Hell.”